Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:30 - Swahili Revised Union Version

Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa angalipo pale pale alipomlaki Martha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa angalipo pale pale alipomlaki Martha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:30
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Martha aliposikia kwamba Yesu anakuja, alikwenda kumlaki; na Mariamu alikuwa akikaa nyumbani.


Naye alipokwisha kusema hayo, alikwenda zake; akamwita umbu lake Mariamu faraghani, akisema, Mwalimu yupo anakuita.


Naye aliposikia, aliondoka upesi, akamwendea.