Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:37 - Swahili Revised Union Version

Kama sizitendi kazi za Baba yangu, msiniamini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama sifanyi kazi za Baba yangu, msiniamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama sifanyi kazi za Baba yangu, msiniamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama sifanyi kazi za Baba yangu, msiniamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, basi msiniamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, basi msiniamini,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama sizitendi kazi za Baba yangu, msiniamini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:37
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawajibu, Niliwaambia, lakini ninyi hamsadiki. Kazi hizi ninazozifanya kwa jina la Baba yangu ndizo zinazonishuhudia.


Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?


Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.


Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu, na kutuchukia.


Mimi nikijishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu si kweli.