Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:23 - Swahili Revised Union Version

Naye Yesu alikuwa akitembea hekaluni, katika ukumbi wa Sulemani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Yesu akawa anatembea hekaluni katika ukumbi wa Solomoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Yesu akawa anatembea hekaluni katika ukumbi wa Solomoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Yesu akawa anatembea hekaluni katika ukumbi wa Solomoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Isa alikuwa akitembea ndani ya Hekalu katika Ukumbi wa Sulemani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Isa alikuwa akitembea ndani ya Hekalu katika ukumbi wa Sulemani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Yesu alikuwa akitembea hekaluni, katika ukumbi wa Sulemani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:23
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi huko Yerusalemu ilikuwa sikukuu ya kutabaruku; ni wakati wa baridi.


Basi alipokuwa akiwashika Petro na Yohana, watu wote wakawakusanyikia mbio katika tao lile lililoitwa tao la Sulemani, wakishangaa sana.


Na kwa mikono ya mitume zikafanyika ishara na maajabu mengi katika watu; nao wote walikuwako kwa nia moja katika ukumbi wa Sulemani;