Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:8 - Swahili Revised Union Version

Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye mwenyewe hakuwa ile nuru, bali alikuja kuishuhudia hiyo nuru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye mwenyewe hakuwa ile nuru, bali alikuja kuishuhudia hiyo nuru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo.


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nilisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake.


Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu.