Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijia katika hekalu lake ghafla; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema BWANA wa majeshi.
Yohana 1:6 - Swahili Revised Union Version Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, Biblia Habari Njema - BHND Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, Neno: Bibilia Takatifu Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yahya. Neno: Maandiko Matakatifu Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yahya. BIBLIA KISWAHILI Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana. |
Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijia katika hekalu lake ghafla; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema BWANA wa majeshi.
Huyo ndiye aliyeandikiwa haya, Tazama, mimi namtuma mjumbe wangu Mbele ya uso wako, Atakayeitengeneza njia yako mbele yako.
Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?
Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.
Nawe, mtoto, utaitwa nabii wake Aliye Juu, Kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia zake;
Wala mimi sikumjua; lakini yeye aliyenituma kubatiza kwa maji, huyo aliniambia, Yeye ambaye utamwona Roho akishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye abatizaye kwa Roho Mtakatifu.
Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nilisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake.
Yohana alipokuwa amekwisha kuwahubiria watu wote wa Israeli habari za ubatizo wa toba, kabla ya kuja kwake.