Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoeli 1:1 - Swahili Revised Union Version

Neno la BWANA lililomjia Yoeli, mwana wa Pethueli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yoeli, mwana wa Pethueli:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yoeli, mwana wa Pethueli:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yoeli, mwana wa Pethueli:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA lililomjia Yoeli, mwana wa Pethueli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoeli 1:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

ambaye neno la BWANA lilimjia katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa kutawala kwake.


neno la BWANA lilimjia Ezekieli, kuhani, mwana wa Buzi, katika nchi ya Wakaldayo, karibu na mto Kebari; na mkono wa BWANA ulikuwa hapo juu yake.


Hili ndilo neno la BWANA lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana wa Yoashi, mfalme wa Israeli.


lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,


Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.