Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 2:1 - Swahili Revised Union Version

Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu lilinijia kusema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana lilinijia kusema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 2:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tena neno la BWANA likanijia, kusema, Yeremia, waona nini? Nikasema, Naona ufito wa mlozi.


Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema BWANA, ili nikuokoe.


Nenda ukalie masikioni mwa Yerusalemu, ukisema, BWANA asema hivi, Nakukumbuka, hisani ya ujana wako, upendo wa wakati wa kuposwa kwako; Jinsi ulivyonifuata huko jangwani, katika nchi isiyopandwa mbegu.


Nabii aliye na ndoto, na aseme ndoto yake; na yeye aliye na neno langu, na aseme neno langu kwa uaminifu. Makapi ni kitu gani kuliko ngano? Asema BWANA.


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,


Tena neno la BWANA likanijia, kusema,


Nami nitampa mashamba yake ya mizabibu toka huko, na bonde la Akori kuwa mlango wa tumaini; naye ataniitikia huko, kama siku zile za ujana wake, na kama siku ile alipopanda kutoka nchi ya Misri.


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,


Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.