Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 11:1 - Swahili Revised Union Version

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa bwana:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 11:1
3 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA likamjia, kusema,


Hasira yako uwamwagie mataifa wasiokujua, na jamaa zao wasioliitia jina lako; kwa maana wamemla Yakobo, naam, wamemla kabisa na kumwangamiza, na kuyafanya makao yake kuwa ukiwa.


Yasikieni maneno ya maagano haya; ukaseme na watu wa Yuda, na wenyeji wa Yerusalemu;