Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 2:12 - Swahili Revised Union Version

Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 2:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.


Mchukuliane mizigo na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.


Hatimaye, ndugu zangu, mambo yoyote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo ya heshima, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote yenye kupendeza, yoyote yenye sifa njema; ukiwapo wema wowote, ikiwapo sifa nzuri yoyote, yatafakarini hayo.


Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Lakini mkiitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa, Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vema.