Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 1:3 - Swahili Revised Union Version

mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 1:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.


Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.


Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda mfupi tu, yatuandalia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana;


mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na subira ya kila namna na uvumilivu pamoja na furaha;


Hata na sisi wenyewe tunaona fahari juu yenu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya subira yenu, na imani mliyo nayo katika adha zenu zote na dhiki mnazostahimili.


Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na subira ya Kristo.


Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.


ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.


na katika maarifa yenu kiasi, na katika kiasi chenu subira, na katika subira yenu utauwa,