Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 1:20 - Swahili Revised Union Version

kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 1:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.


Muwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;