Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 2:15 - Swahili Revised Union Version

Nawe utatia mafuta juu yake, na kuweka ubani juu yake; ni sadaka ya unga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utaitia mafuta na kuweka ubani; hiyo ni sadaka ya nafaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utaitia mafuta na kuweka ubani; hiyo ni sadaka ya nafaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utaitia mafuta na kuweka ubani; hiyo ni sadaka ya nafaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe utatia mafuta juu yake, na kuweka ubani juu yake; ni sadaka ya unga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 2:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

na mkate usiotiwa chachu, na maandazi yasiyotiwa chachu yaliyokandwa kwa mafuta, na kaki zisizotiwa chachu zilizotiwa mafuta; utazifanya za unga mzuri mwembamba wa ngano.


BWANA akamwambia Musa, Jitwalie manukato mazuri, yaani, natafi, na shekelethi, na kelbena; viungo vya manukato vizuri pamoja na ubani safi; vitu hivyo vyote na viwe vya kipimo kimoja;


Na mtu atakapomtolea BWANA matoleo ya sadaka ya unga, matoleo yake yatakuwa ya unga mwembamba; naye ataumiminia mafuta, na kutia na ubani juu yake;


Nawe kwamba wamtolea BWANA sadaka ya unga ya malimbuko, utatoa hiyo ngano katika masuke yake iliyochomwa motoni, ngano iliyopondwa ya masuke mabichi, ndiyo utakayoleta kuwa sadaka ya unga ya malimbuko yako.


Huyo kuhani atauteketeza ukumbusho wake, yaani, sehemu ya ngano iliyopondwa ya hiyo sadaka, na sehemu ya mafuta yake, pamoja na ule ubani wake wote; ni kafara ya kusongezwa kwa BWANA kwa njia ya moto.


Lakini asipowaweza hua wawili, au makinda mawili ya njiwa, ndipo hapo atakapoleta matoleo yake kwa ajili ya neno hilo alilolikosa, sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba, kuwa sadaka yake ya dhambi; asitie mafuta juu yake, wala ubani usitiwe juu yake; maana, ni sadaka ya dhambi.


ndipo yeye atakayetoa matoleo yake na amtolee BWANA sadaka ya unga ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta;