Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 4:14 - Swahili Revised Union Version

Lakini mlifanya vema, mliposhiriki nami katika dhiki yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo, nyinyi mlifanya vema kwa kushirikiana nami katika taabu zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo, nyinyi mlifanya vema kwa kushirikiana nami katika taabu zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo, nyinyi mlifanya vema kwa kushirikiana nami katika taabu zangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mlifanya vema, mliposhiriki nami katika dhiki yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 4:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini BWANA akamwambia Daudi baba yangu, Kwa kuwa ilikuwa moyoni mwako kujenga nyumba kwa jina langu, ulifanya vema kuwaza hivi moyoni mwako.


Lakini BWANA akamwambia Daudi baba yangu, Kwa kuwa ilikuwa moyoni mwako kujenga nyumba kwa jina langu, ulifanya vema kuwaza hivi moyoni mwako;


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.


Naam, imewapendeza, tena wamekuwa wadeni wao. Kwa maana ikiwa Mataifa wameyashiriki mambo yao ya roho, imewabidi kuwahudumia kwa mambo yao ya mwili.


Mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake katika mema yote.


vile vile kama ilivyo wajibu wangu kufikiri haya juu yenu nyote; kwa sababu ninyi mmo moyoni mwangu; kwa kuwa katika kufungwa kwangu na katika kazi ya kutetea Injili na kuithibitisha, ninyi nyote mmeshirikiana nami neema hii.


Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi, tena nimejaa tele; nimepokea kwa mkono wa Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.


Waamuru watende mema, wawe matajiri katika kutenda mema, wawe wakarimu na wawe tayari kushiriki na wengine;


pindi mlipotwezwa kwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo.


Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo, tena mkakubali kwa furaha kunyang'anywa mali zenu, mkijua kwamba nafsini mwenu mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo.


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Mimi Yohana, ndugu yenu na mwenye kushiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na subira ya Yesu Kristo, nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili ya neno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu.