Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 2:4 - Swahili Revised Union Version

Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 2:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Mordekai akapata kulijua jambo hilo, naye akamjulisha Esta, malkia; naye Esta akamwambia mfalme habari hiyo kwa jina la Mordekai.


Musa akawaambia wana wa Gadi na wana wa Reubeni, Je! Ndugu zenu waende vitani nanyi mtaketi hapa?


bali atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari.


Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.


Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe.


Mtu asitafute faida yake mwenyewe, bali ya mwenzake.


Ni nani aliye dhaifu, nisiwe dhaifu nami? Ni nani aliyekwazwa nami nisichukiwe?


Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe;


Maana wote wanatafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu.


Lakini mkiitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa, Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vema.