Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 2:23 - Swahili Revised Union Version

Basi, natumaini kumtuma huyo mara, hapo nitakapojua yatakayonipata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo natumaini kumtuma kwenu mara nitakapojua jinsi mambo yatakavyoniendea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo natumaini kumtuma kwenu mara nitakapojua jinsi mambo yatakavyoniendea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo natumaini kumtuma kwenu mara nitakapojua jinsi mambo yatakavyoniendea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, natumaini kumtuma huyo mara, hapo nitakapojua yatakayonipata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 2:23
3 Marejeleo ya Msalaba  

nyingine zikaanguka penye miamba, pasipokuwa na udongo mwingi; zikaota haraka, kwa kukosa udongo wenye kina;


Lakini natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo afike kwenu karibu, nifarijiwe na mimi, nikiijua hali yenu.


Kutoka huko Daudi akaenda Mispa ya Moabu; akamwambia mfalme wa Moabu, Tafadhali wakubalie baba yangu na mama yangu watoke huko waliko, wakakae kwenu, hata nitakapojua Mungu atakalotenda kwa ajili yangu.