Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 6:5 - Swahili Revised Union Version

na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za wakati ujao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kuonja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kuonja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kuonja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambao wameonja uzuri wa neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za wakati ujao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 6:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Onjeni muone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumainia.


Naye mtu yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.


Maana Herode alimwogopa Yohana; akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamlinda; na alipokwisha kumsikiliza alifadhaika sana; naye alikuwa akimsikiliza kwa furaha.


Na wale penye mwamba ndio wale ambao wasikiapo hulipokea lile neno kwa furaha; nao hawana mizizi, huamini kitambo kidogo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;


Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.


Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena, ila mtu mmoja ameshuhudia hivi mahali fulani, akisema,


Maana neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena ni jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.


Bali Neno la Bwana hudumu hata milele. Na neno hilo ni neno lile jema lililohubiriwa kwenu.


ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.


Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza.