Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 6:3 - Swahili Revised Union Version

Na hayo tutafanya Mungu akitujalia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hilo tutafanya, Mungu akipenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hilo tutafanya, Mungu akipenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hilo tutafanya, Mungu akipenda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu akitujalia tutafanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu akitujalia tutafanya hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hayo tutafanya Mungu akitujalia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 6:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


nipate kufika kwenu kwa furaha, kama apendavyo Mungu, nikapate kupumzika pamoja nanyi.


Maana sipendi kuonana nanyi sasa, katika kupita tu, kwa sababu natarajia kukaa kwenu muda kidogo, Bwana akinijalia.


Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu wajivunao, bali nguvu zao.


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu,


Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.