Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 3:19 - Swahili Revised Union Version

Basi twaona ya kuwa hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, twaona kwamba hawakuingia huko kwa sababu hawakuamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, twaona kwamba hawakuingia huko kwa sababu hawakuamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, twaona kwamba hawakuingia huko kwa sababu hawakuamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi twaona ya kuwa hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 3:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaidharau nchi ile ya kupendeza, Wala hawakuliamini neno lake.


Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Na hao pia, wasipokaa katika kutoamini kwao, watapandikizwa; kwa kuwa Mungu aweza kuwapandikiza tena.


Lakini katika jambo hili hamkumwamini BWANA, Mungu wenu,


ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Yeye amwaminiye Mwana wa Mungu anao huo ushuhuda ndani yake. Asiyemwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuuamini huo ushuhuda ambao Mungu amemshuhudia Mwanawe.


Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.