Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 13:19 - Swahili Revised Union Version

Nami nawasihi zaidi sana kufanya hayo ili nirudishwe kwenu upesi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nawasihi zaidi sana kufanya hayo ili nirudishwe kwenu upesi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 13:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na pamoja na hayo uniwekee tayari mahali pa kukaa; maana natumaini ya kwamba kwa maombi yenu nitarejeshwa kwenu.


Lakini nawasihi, ndugu, mchukuliane na neno hili lenye maonyo maana nimewaandikia kwa maneno machache.