Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 10:6 - Swahili Revised Union Version

Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sadaka za kuteketezwa au za kuondoa dhambi hazikupendezi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sadaka za kuteketezwa au za kuondoa dhambi hazikupendezi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sadaka za kuteketezwa au za kuondoa dhambi hazikupendezi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

sadaka za kuteketezwa na za dhambi hukupendezwa nazo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

sadaka za kuteketezwa na za dhambi hukupendezwa nazo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 10:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Dhabihu na matoleo hukupendezwa nazo, Umetuzidishia ila masikio, Kafara na sadaka za dhambi hukuzitaka.


Laiti angekuwapo kwenu mtu mmoja wa kuifunga milango; msije mkawasha moto bure madhabahuni pangu! Sina furaha kwenu, asema BWANA wa majeshi, wala sitakubali dhabihu yoyote mikononi mwenu.


na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi, tena nimejaa tele; nimepokea kwa mkono wa Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.


Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.


Naye Samweli akasema, Je! BWANA huzipenda sadaka za kuteketezwa na dhabihu Sawasawa na kuitii sauti ya BWANA? Angalia, kutii ni bora kuliko dhabihu, Na kusikiza ushauri kuliko mafuta ya beberu.