Njooni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.
Waebrania 10:37 - Swahili Revised Union Version Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Maana kama yasemavyo Maandiko: “Bado kidogo tu, na yule anayekuja, atakuja, wala hatakawia. Biblia Habari Njema - BHND Maana kama yasemavyo Maandiko: “Bado kidogo tu, na yule anayekuja, atakuja, wala hatakawia. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Maana kama yasemavyo Maandiko: “Bado kidogo tu, na yule anayekuja, atakuja, wala hatakawia. Neno: Bibilia Takatifu Kwa kuwa, “Bado kitambo kidogo tu, yeye ajaye atakuja wala hatakawia.” Neno: Maandiko Matakatifu Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu, “Yeye ajaye atakuja wala hatakawia. BIBLIA KISWAHILI Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia. |
Njooni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.
Aliye mdogo zaidi atakuwa elfu, Na mnyonge atakuwa taifa hodari; Mimi, BWANA, nitayahimiza hayo wakati wake.
Nawaambia, atawapatia haki upesi; lakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?
wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyodhani anakawia, bali huwavumilia, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikie toba.