Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 9:8 - Swahili Revised Union Version

Nao walikuwa na nywele kama nywele za wanawake. Na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walikuwa na nywele kama nywele za wanawake. Na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 9:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Yehu alipofika Yezreeli, Yezebeli akapata habari; akatia uwanja machoni mwake, akapamba kichwa chake, akachungulia dirishani.


Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Hata itakuwa ya kuwa badala ya manukato mazuri kutakuwa uvundo, na badala ya mishipi, kamba; na badala ya nywele zilizosukwa vizuri, upaa; na badala ya kisibau, mavazi ya kigunia; na kutiwa alama mwilini kwa moto badala ya uzuri.


Maana taifa limepanda juu ya nchi yangu, Lenye nguvu, tena halina hesabu; Meno yake ni kama meno ya simba, Naye ana magego ya simba mkubwa.


Tena kama Isaya alivyotangulia kunena, Kama Bwana wa majeshi asingalituachia uzao, Tungalikuwa kama Sodoma, tungalifananishwa na Gomora.


Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;


Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;