Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 20:7 - Swahili Revised Union Version

Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hiyo miaka elfu itakapotimia, Shetani atafunguliwa atoke kifungoni mwake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 20:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;


Wale malaika wanne wakafunguliwa, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ile saa na siku na mwezi na mwaka, ili kwamba waue theluthi ya wanadamu.