Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 2:21 - Swahili Revised Union Version

Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimempa muda wa kutubu, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimempa muda wa kutubu, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimempa muda wa kutubu, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimempa muda ili atubu kwa ajili ya uasherati wake, lakini hataki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimempa muda ili atubu kwa ajili ya uasherati wake, lakini hataki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 2:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonesha ghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake, kwa uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyokuwa karibu kuharibiwa;


watu wasiotii hapo zamani, wakati Mungu alipowavumilia kwa subira, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.


Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyodhani anakawia, bali huwavumilia, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikie toba.


wakamtukana Mungu wa mbingu kwa sababu ya maumivu yao, na kwa sababu ya majipu yao; wala hawakuyatubia matendo yao.


Wanadamu wakaunguzwa na joto kali, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu.