Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ruthu 4:20 - Swahili Revised Union Version

na Aminadabu akamzaa Nashoni; na Nashoni akamzaa Salmoni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aminadabu akamzaa Nahshoni, Nahshoni akamzaa Salmoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aminadabu akamzaa Nahshoni, Nahshoni akamzaa Salmoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aminadabu akamzaa Nahshoni, Nahshoni akamzaa Salmoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Aminadabu akamzaa Nashoni; na Nashoni akamzaa Salmoni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ruthu 4:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Haruni akamwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada yake Nashoni; naye akamzalia Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.


Na hao watakaopanga upande wa mashariki, kwa kuelekea maawio ya jua, ndio wale wa bendera ya kambi ya Yuda, kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Yuda atakuwa Nashoni mwana wa Aminadabu.


Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;


wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,


na Hesroni akamzaa Ramu; na Ramu akamzaa Aminadabu;


na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;