Israeli akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya BWANA juu ya Wamisri, ndipo hao watu wakamcha BWANA, wakamwamini BWANA, na Musa mtumishi wake.
Nehemia 9:9 - Swahili Revised Union Version Tena uliyaona mateso ya baba zetu katika Misri, ukakisikia kilio chao, huko kando ya Bahari ya Shamu; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema “Uliyaona mateso ya babu zetu walipokuwa nchini Misri, na walipokuomba msaada kwenye Bahari ya Shamu uliwasikia. Biblia Habari Njema - BHND “Uliyaona mateso ya babu zetu walipokuwa nchini Misri, na walipokuomba msaada kwenye Bahari ya Shamu uliwasikia. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza “Uliyaona mateso ya babu zetu walipokuwa nchini Misri, na walipokuomba msaada kwenye Bahari ya Shamu uliwasikia. Neno: Bibilia Takatifu “Uliona mateso ya baba zetu huko Misri, ukasikia kilio chao huko Bahari ya Shamu. Neno: Maandiko Matakatifu “Uliona mateso ya baba zetu huko Misri, ukasikia kilio chao huko Bahari ya Shamu. BIBLIA KISWAHILI Tena uliyaona mateso ya baba zetu katika Misri, ukakisikia kilio chao, huko kando ya Bahari ya Shamu; |
Israeli akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya BWANA juu ya Wamisri, ndipo hao watu wakamcha BWANA, wakamwamini BWANA, na Musa mtumishi wake.
Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja, ukawaambie, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenitokea, akaniambia, Hakika nimewajilieni, tena nimeyaona mnayotendewa huko Misri;
katika siku ile niliwainulia mkono wangu, kuwatoa katika nchi ya Misri, na kuwaingiza katika nchi niliyowapelelezea, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;
Hakika nimeona mateso ya watu wangu waliomo Misri, nimesikia kuugua kwao, nami nimeshuka niwatoe. Basi sasa, nitakutuma mpaka Misri.
Na lile taifa watakaowafanya watumwa nitawahukumu mimi, alisema Mungu; na baada ya hayo watatoka, nao wataniabudu mahali hapa.