Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 5:6 - Swahili Revised Union Version

Nami nilikasirika sana, niliposikia kilio chao, na maneno hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliposikia malalamiko yao, nilikasirika sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliposikia malalamiko yao, nilikasirika sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliposikia malalamiko yao, nilikasirika sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nilikasirika sana, niliposikia kilio chao, na maneno hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 5:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nikagombana nao, nikawalaani, nikawapiga baadhi yao, na kuwang'oa nywele zao; nikawaapisha kwa Mungu, nikasema, Msiwaoze wana wao binti zenu, wala msiwatwae binti zao ili waolewe na wana wenu, wala na ninyi wenyewe.


Nami nikasikitika sana; basi nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia vitoke humo chumbani.


Ndipo nikafanya shauri na nafsi yangu, nikagombana na wakuu na maofisa, nikawaambia, Nyote mnatoza watu riba, mtu na ndugu yake. Nikakutanisha mkutano mkubwa ili kukabiliana nao.


Ghadhabu kuu imenishika kwa sababu ya wasio haki, Waiachao sheria yako.


Tena hao watumishi wako wote wataniteremkia kwangu mimi, nao watanisujudia, wakisema, Toka wewe, na hawa watu wote wakufuatao; na baada ya hayo nitatoka. Basi akatoka kwa Farao na hasira kuu.


Musa akakasirika sana, akamwambia BWANA. Usiikubali sadaka yao; mimi sikutwaa hata punda mmoja kwao, wala sikumwumiza hata mtu mmoja miongoni mwao.


Akawakazia macho pande zote kwa hasira, akiona huzuni kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao, akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako. Naye akaunyosha; mkono wake ukawa mzima tena.


Muwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;