Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 3:9 - Swahili Revised Union Version

Na baada yao Refaya, mwana wa Huri akajenga, mtawala wa nusu ya Yerusalemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sehemu inayofuata ilijengwa upya na Refaya, mwana wa Huri, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sehemu inayofuata ilijengwa upya na Refaya, mwana wa Huri, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sehemu inayofuata ilijengwa upya na Refaya, mwana wa Huri, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baada yao Refaya, mwana wa Huri akajenga, mtawala wa nusu ya Yerusalemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 3:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na baada yao akajenga Yedaya, mwana wa Harumafu, kuielekea nyumba yake. Na baada yake akajenga Hatushi, mwana wa Hashabneya.


Na baada yake akajenga Shalumu, mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya sehemu ya Yerusalemu, yeye na binti zake.


Baada yake akajenga Nehemia, mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya mtaa wa Beth-suri, mpaka mahali paelekeapo makaburi ya Daudi, na mpaka birika lililofanyizwa, na mpaka nyumba ya wapiganaji.


Baada yake wakajenga Walawi, Rehumu, mwana wa Bani. Baada yake akajenga Hashabia, mkuu wa nusu ya mtaa wa Keila, kwa mtaa wake.