Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 13:8 - Swahili Revised Union Version

Nami nikasikitika sana; basi nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia vitoke humo chumbani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nikasikitika sana; basi nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia vitoke humo chumbani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 13:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hapo Ezra alipokuwa akiomba na kuungama, akilia, na kujiangusha kifudifudi mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa sana la wanaume, wanawake na watoto, kutoka katika Israeli likamkusanyikia; maana watu hao walikuwa wakilia sana.


Kisha nikatoa amri, nao wakavisafisha vyumba; nami nikavirudisha humo vyombo vya nyumba ya Mungu, pamoja na sadaka za unga na ubani.


Nami nilikasirika sana, niliposikia kilio chao, na maneno hayo.


Maana mvuto wa nyumba yako umenila, Na laumu zao wanaokulaumu zimenipata.