Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 12:11 - Swahili Revised Union Version

Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yoyada akamzaa Yonathani, Yonthani akamzaa Yadua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 12:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yoshua akamzaa Yoyakimu, Yoyakimu akamzaa Eliashibu, Eliashibu akamzaa Yoyada,


Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;


Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameorodheshwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.