Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:23 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa palikuwa na amri ya mfalme juu yao, na agizo la hakika walilowekewa waimbaji, kama ilivyohusika na kila siku.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme alikuwa ametoa amri kuhusu zamu zao na mahitaji yao ya kila siku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme alikuwa ametoa amri kuhusu zamu zao na mahitaji yao ya kila siku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme alikuwa ametoa amri kuhusu zamu zao na mahitaji yao ya kila siku.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa palikuwa na amri ya mfalme juu yao, na agizo la hakika walilowekewa waimbaji, kama ilivyohusika na kila siku.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa posho yake, alipewa posho ya daima na mfalme, siku kwa siku sehemu, siku zote za maisha yake.


Tena hawa ndio waimbaji, wakuu wa koo za baba zao katika Walawi, ambao walikaa vyumbani, kisha walikuwa hawana kazi nyingine; kwa kuwa walifanya kazi yao mchana na usiku.


Na Israeli wote, siku za Zerubabeli, na siku za Nehemia, walitoa sehemu za waimbaji na mabawabu, kama ilivyohusika kila siku; nao wakawatakasia Walawi; na Walawi wakawatakasia wana wa Haruni.