Na katika kila kilicho hai chenye mwili, wawili wa kila namna utawaleta ndani ya safina, kuwahifadhi pamoja nawe; wawe mume na mke.
Mwanzo 7:8 - Swahili Revised Union Version Na katika wanyama walio safi, na wanyama wasio safi, na ndege, navyo vyote vitambaavyo juu ya nchi, Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Wanyama walio safi, wanyama walio najisi, ndege na viumbe vyote vitambaavyo, Biblia Habari Njema - BHND Wanyama walio safi, wanyama walio najisi, ndege na viumbe vyote vitambaavyo, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Wanyama walio safi, wanyama walio najisi, ndege na viumbe vyote vitambaavyo, Neno: Bibilia Takatifu Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vinavyotambaa ardhini, Neno: Maandiko Matakatifu Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo, BIBLIA KISWAHILI Na katika wanyama walio safi, na wanyama wasio safi, na ndege, navyo vyote vitambaavyo juu ya nchi, |
Na katika kila kilicho hai chenye mwili, wawili wa kila namna utawaleta ndani ya safina, kuwahifadhi pamoja nawe; wawe mume na mke.
Katika vyote virukavyo kwa jinsi yake, na kila namna ya mnyama kwa jinsi yake, kila kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake, wawili wa kila namna watakuja kwako ili uwahifadhi.
wao na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi, kwa jinsi yake, na kirukacho kwa jinsi yake, kila ndege wa namna yoyote.
Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, wa kiume na wa kike; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, wa kiume na wa kike.
Tena katika ndege wa angani saba saba, wa kike na wa kiume; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote.
wakaingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, wa kike na wa kiume, kama vile Mungu alivyomwamuru Nuhu.
ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.