Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:7 - Swahili Revised Union Version

Nuhu akaingia katika safina, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye; kwa sababu ya maji ya gharika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Noa, mkewe, wanawe na wake zao wakaingia ndani ya safina ili kuiepa gharika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Noa, mkewe, wanawe na wake zao wakaingia ndani ya safina ili kuiepa gharika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Noa, mkewe, wanawe na wake zao wakaingia ndani ya safina ili kuiepa gharika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nuhu na mkewe, na wanawe na wake zao, wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nuhu na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nuhu akaingia katika safina, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye; kwa sababu ya maji ya gharika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nitafanya agano langu nawe kuwa thabiti; nawe utaingia katika safina, wewe, na wanao, na mkeo, na wake za wanao, pamoja nawe.


BWANA akamwambia Nuhu, Ingia wewe na jamaa yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hadi siku ile aliyoingia Nuhu katika safina,


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.


ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekwayo mbele yetu;


watu wasiotii hapo zamani, wakati Mungu alipowavumilia kwa subira, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.


wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta Gharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha Mungu;