Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 49:16 - Swahili Revised Union Version

Dani atahukumu watu wake, Kama moja ya makabila ya Israeli;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Dani atakuwa mwamuzi wa watu wake, kama mojawapo ya makabila ya Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Dani atakuwa mwamuzi wa watu wake, kama mojawapo ya makabila ya Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Dani atakuwa mwamuzi wa watu wake, kama mojawapo ya makabila ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Dani atahukumu watu wake kwa haki kama mmoja wa makabila ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Dani atahukumu watu wake kwa haki kama mmoja wa makabila ya Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Dani atahukumu watu wake, Kama moja ya makabila ya Israeli;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 49:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.


Akaona mahali pa raha, kuwa pema, Na nchi, ya kuwa ni nzuri, Akainama bega lake lichukue mizigo, Akawa mtumishi kwa kazi ngumu.


Dani atakuwa nyoka barabarani, Bafe katika njia, Aumaye visigino vya farasi, Na apandaye akaanguka chali.


Kisha beramu ya kambi ya wana wa Dani, ambayo ilikuwa ni nyuma ya makambi yote, ikasafiri, kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Na Dani akamnena, Dani ni mwanasimba, Arukaye kutoka Bashani.


Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, wa jamaa ya Wadani; jina lake akiitwa Manoa; na mkewe alikuwa tasa, hakuzaa watoto.


Naye akawa mwamuzi wa Israeli: katika siku za Wafilisti muda wa miaka ishirini.