Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:7 - Swahili Revised Union Version

Bilha, mjakazi wa Raheli, akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bilha, mjakazi wa Raheli, akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bilha, mjakazi wa Raheli, akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bilha, mjakazi wa Raheli, akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bilha mjakazi wa Raheli akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bilha mtumishi wa kike wa Raheli akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bilha, mjakazi wa Raheli, akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.


Raheli akasema, Kwa mashindano makuu nimeshindana na dada yangu, nikashinda. Akamwita jina lake Naftali.


Na wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yaseri, na Shilemu.


Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.


Na mpakani mwa Asheri, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Naftali, fungu moja.


Katika wana wa Naftali, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;