Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:13 - Swahili Revised Union Version

Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Lea akasema, “Nina furaha kiasi gani! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita jina Asheri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.


Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.


Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,


Hua wangu, mkamilifu wangu, ni mmoja tu, Mtoto wa pekee wa mamaye. Ndiye kipenzi chake aliyemzaa, Binti wakamwona wakamwita heri; Malkia na masuria nao wakamwona, Wakamsifu, wakisema,


Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;