Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 26:30 - Swahili Revised Union Version

Basi akawafanyia karamu, nao wakala, wakanywa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Isaka akawafanyia karamu, nao wakala na kunywa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Isaka akawafanyia karamu, nao wakala na kunywa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Isaka akawafanyia karamu, nao wakala na kunywa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Isaka akawaandalia karamu, nao wakala na kunywa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Isaka akawaandalia karamu, nao wakala na kunywa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akawafanyia karamu, nao wakala, wakanywa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 26:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akawasihi sana, nao wakaja, wakaingia nyumbani mwake. Akawafanyia karamu, akawapikia mikate isiyochachwa nao wakala.


Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya; Abrahamu akafanya karamu kuu siku ile Isaka alipoachishwa kunyonya.


Wakaondoka asubuhi na mapema, wakaapiana wao kwa wao, kisha Isaka akawapa ruhusa, nao wakaenda zao kwa amani.


Yakobo akachinja sadaka katika mlima, akawaita ndugu zake waje wale chakula, nao wakala chakula, wakakaa usiku kucha mlimani.


Yethro mkwewe Musa akamletea Mungu sadaka ya kuteketezwa na dhabihu; na Haruni akaja, na wazee wote wa Israeli, wale chakula pamoja na mkwewe Musa mbele za Mungu.


Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


Mkaribishane ninyi kwa ninyi, pasipo kunung'unika;