Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 21:15 - Swahili Revised Union Version

Yale maji yalipoisha katika kiriba, Hajiri akamlaza kijana kichakani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikawa maji yalipomwishia katika kile kiriba, Hagari akamlaza mwanawe chini ya mti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikawa maji yalipomwishia katika kile kiriba, Hagari akamlaza mwanawe chini ya mti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikawa maji yalipomwishia katika kile kiriba, Hagari akamlaza mwanawe chini ya mti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maji yalipokwisha kwenye kiriba, Hajiri akamwacha kijana chini ya kichaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maji yalipokwisha kwenye kiriba, akamwacha kijana chini ya mojawapo ya vichaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yale maji yalipoisha katika kiriba, Hajiri akamlaza kijana kichakani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 21:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Akaenda akakaa akimkabili, mbali naye kadiri ya mtupo wa mshale; maana alisema, Nisimwone kijana akifa; naye akakaa akimkabili, akapaza sauti yake, akalia.


Naye akasema, Kama BWANA, Mungu wako, aishivyo, sina mkate, ila konzi ya unga katika pipa, na mafuta kidogo katika chupa; nami ninaokota kuni mbili ili niingie nijipikie mwenyewe na mwanangu, tule kisha tufe.


Basi mfalme wa Israeli akaenda, na mfalme wa Yuda, na mfalme wa Edomu; wakazunguka mwendo wa siku saba; wala hapakuwa na maji kwa jeshi, wala kwa wanyama waliowafuata.


Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.


Mfua chuma hufanza shoka, hufanya kazi kwa makaa, huitengeneza sanamu kwa nyundo, huifanyiza kwa nguvu za mkono wake; naam, huona njaa, nguvu zake zikampungukia; asipokunywa maji huzimia.


Na wakuu wao huwatuma watoto wao kwenye maji; Nao hufika visimani wasipate maji; Hurudi, na vyombo vyao ni vitupu; Wametahayarika na kufadhaika, Na kuvifunika vichwa vyao.