Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 12:9 - Swahili Revised Union Version

Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 12:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akapanda kutoka Misri, yeye, na mkewe, na kila alichokuwa nacho, na Lutu pamoja naye, mpaka kusini.


Akaendelea kusafiri kutoka kusini mpaka Betheli, mahali pale palipokuwapo hema yake kwanza, kati ya Betheli na Ai;


Abrahamu akaondoka huko kwenda nchi ya kusini, akakaa kati ya Kadeshi na Shuri, naye akatembea katika Gerari.


Ikawa hapo Mungu aliponisafirisha kutoka nyumba ya baba yangu, nikamwambia, Hii ndiyo fadhili yako, utakayonifanyia. Kila mahali tuingiapo, useme, Huyu ni kaka yangu.


Basi Isaka alikuwa amekuja kwa njia ya Beer-lahai-roi, maana alikaa katika nchi ya kusini.


Wakatangatanga toka taifa hadi taifa, Toka ufalme mmoja hadi kwa watu wengine.


Ufunuo juu ya wanyama wa Negebu. Katikati ya nchi ya taabu na dhiki, Ambayo hutoka huko simba jike na simba angurumaye, Nyoka na joka la moto arukaye, Huchukua mali zao mabegani mwa punda wachanga, Na hazina zao juu ya nundu za ngamia Waende kwa watu ambao hawatawafaa kitu.


Musa akawatuma ili waipeleleze nchi ya Kanaani, akawaambia, Pandeni sasa katika Negebu mkapande milimani,


geukeni mshike safari yenu mwende nchi ya milima ya Waamori, na mahali pote palipo karibu ya hapo, katika hiyo Araba, na nchi ya vilima vilima, na huko Shefela, na Negebu, na pwani pwani, nchi ya Wakanaani, na Lebanoni, mpaka mto huo mkubwa, mto wa Frati.