Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:4 - Swahili Revised Union Version

Na wana wa Yavani ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto wa kiume wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu na Dodanimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto wa kiume wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu na Dodanimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto wa kiume wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu na Dodanimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Yavani walikuwa: Al-Yasa, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Yavani walikuwa: Al-Yasa, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Yavani ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.


Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.


Ufunuo juu ya Tiro. Toeni sauti za uchungu, enyi merikebu za Tarshishi, kwa maana umeharibika kabisa, hata hapana nyumba, hapana mahali pa kuingia; toka nchi ya Kitimu wamefunuliwa habari.


Naye akasema, Usizidi kufurahi, ewe bikira uliyeaibishwa, binti wa Sidoni, haya, ondoka, uende hadi Kitimu; huko nako hutapata raha.


Tarshishi alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa utajiri wa kila aina; kwa fedha, na chuma, na bati, na risasi, walifanya biashara, wapate vitu vyako vilivyouzwa.


Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara yako, kwa bidhaa yako; nawe ulijazwa sana, ukawa mtukufu sana, katika moyo wa bahari.


kwa mialoni ya Bashani wamefanya makasia yako; na sitaha zako wamezifanya kwa pembe iliyotiwa kazi ya njumu katika mti wa mihugu itokayo Kitimu.


Tanga lako lilikuwa la kitani safi itokayo Misri, iliyotiwa taraza, ili iwe bendera kwako; na chandarua chako kilikuwa cha rangi ya samawati na urujuani toka visiwa vya Elisha.


Maana merikebu za Kitimu zitakuja kupigana naye; basi atavunjika moyo, naye atarudi na kulighadhibikia hilo agano takatifu; na kutenda kadiri apendavyo; naam, atarudi, na kuwasikiliza walioacha hilo agano takatifu.


Lakini merikebu zitakuja kutoka pwani kwa Kitimu, Nazo zitamtaabisha Ashuru, na Eberi zitamtaabisha, Yeye naye atapata uharibifu.