Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 3:10 - Swahili Revised Union Version

Nimeiona taabu ambayo Mungu amewapa wanadamu, ili kutaabika ndani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi nimeiona kazi ambayo binadamu amepewa na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi nimeiona kazi ambayo binadamu amepewa na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi nimeiona kazi ambayo binadamu amepewa na Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimeiona taabu ambayo Mungu amewapa wanadamu, ili kutaabika ndani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 3:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.


Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.


Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu awaye yote, huku tukiwahubiria Injili ya Mungu.


wala hatukula chakula kwa mtu yeyote bure; bali kwa taabu na masumbufu, usiku na mchana tulifanya kazi, ili tusimlemee mtu wa kwenu awaye yote.