Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:11 - Swahili Revised Union Version

Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mimi Hekima nina thamani kuliko johari; chochote unachotamani hakiwezi kulingana nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mimi Hekima nina thamani kuliko johari; chochote unachotamani hakiwezi kulingana nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mimi Hekima nina thamani kuliko johari; chochote unachotamani hakiwezi kulingana nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani na hakuna chochote unachohitaji kinacholingana naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani na hakuna chochote unachohitaji kinacholingana naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Ni za kutamanika kuliko dhahabu, Kuliko wingi wa dhahabu safi. Nazo ni tamu kuliko asali, Kuliko sega la asali.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.


Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua.


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Wala si ng'ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya?