Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:6 - Swahili Revised Union Version

Maana katika dirisha la nyumba yangu Nilichungulia katika shubaka yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja dirishani mwa nyumba yangu, nilichungulia nje kupitia viunzi vya dirisha,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja dirishani mwa nyumba yangu, nilichungulia nje kupitia viunzi vya dirisha,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja dirishani mwa nyumba yangu, nilichungulia nje kupitia viunzi vya dirisha,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwenye dirisha la nyumba yangu nilitazama nje kupitia upenyo kwenye mwimo wa dirisha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwenye dirisha la nyumba yangu nilitazama nje kupitia upenyo kwenye mwimo wa dirisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana katika dirisha la nyumba yangu Nilichungulia katika shubaka yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa alipokuwa amekaa huko siku nyingi, Abimeleki, mfalme wa Wafilisti, akachungulia dirishani, akamwona Isaka anachezacheza na Rebeka mkewe.


Ikawa, sanduku la BWANA lilipoingia mji wa Daudi, Mikali binti Sauli, akachungulia dirishani, akamwona mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele za BWANA; akamdharau moyoni mwake.


Wapate kukulinda na malaya, Na mwasherati akubembelezaye kwa maneno yake.


Mpendwa wangu ni kama paa, au ayala. Tazama, asimama nyuma ya ukuta wetu, Achungulia dirishani, atazama kimiani.


Alichungulia dirishani, akalia, Mama yake Sisera alilia dirishani; Mbona gari lake linakawia kufika? Mbona gurudumu za gari lake zinakawia?