Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:4 - Swahili Revised Union Version

Usiache macho yako kupata usingizi, Wala kope za macho yako kusinzia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jitahidi usiache macho yako yapate usingizi, wala kope za macho yako zisinzie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jitahidi usiache macho yako yapate usingizi, wala kope za macho yako zisinzie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jitahidi usiache macho yako yapate usingizi, wala kope za macho yako zisinzie.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiruhusu usingizi machoni pako, usiruhusu kope zako zisinzie.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiruhusu usingizi machoni pako, usiruhusu kope zako zisinzie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiache macho yako kupata usingizi, Wala kope za macho yako kusinzia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Sitaacha macho yangu kuwa na usingizi, Wala kope zangu kusinzia;


Ningekwenda zangu mbali, Ningetua jangwani.


Sasa, mwanangu, fanya hivi ukajiokoe, Kwa kuwa umejitia mkononi mwa jirani yako; Nenda ukanyenyekee, na kumsihi jirani yako.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Kwa maana kuna wakati ambapo malaika hushuka, akaingia katika lile bwawa, akayatibua maji. Basi yeye aliyeingia wa kwanza baada ya maji kutibuliwa, akapona ugonjwa wote uliokuwa umempata.]