Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:4 - Swahili Revised Union Version

Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini hatimaye ni mchungu kama pakanga, ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini hatimaye ni mchungu kama pakanga, ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini hatimaye ni mchungu kama pakanga, ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo, mkali kama upanga ukatao kuwili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo, mkali kama upanga ukatao kuwili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.


Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti; yaani, mwanamke ambaye moyo wake ni mitego na tanzi, na mikono yake ni kama vifungo; yeye ampendezaye Mungu atamponyoka, bali mwenye dhambi atanaswa na yeye.


Maana neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena ni jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.