Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:18 - Swahili Revised Union Version

Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, naam, mambo manne nisiyoyaelewa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, naam, mambo manne nisiyoyaelewa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, naam, mambo manne nisiyoyaelewa:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana, naam, vinne nisivyovielewa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana, naam, vinne nisivyovielewa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani huyu afichaye ushauri bila maarifa? Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu, Mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.


Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mimi, Hayadirikiki, siwezi kuyafikia.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana.