Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:17 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege yeyote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtego utegwao huku ndege anaona, mtego huo wategwa bure.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtego utegwao huku ndege anaona, mtego huo wategwa bure.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtego utegwao huku ndege anaona, mtego huo wategwa bure.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu wakati ndege wote wanakuona!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu wakati ndege wote wanakuona!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege yeyote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Atufundishaye zaidi ya wanyama wa nchi, Na kutufanya wenye hekima kuliko ndege wa angani?


Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.


Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.


Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.


Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.


Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.