Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 8:30 - Swahili Revised Union Version

Basi, kulikuwako mbali nao kundi la nguruwe wengi wakila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbali kidogo kutoka pale walipokuwa, kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbali kidogo kutoka pale walipokuwa, kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, kulikuwako mbali nao kundi la nguruwe wengi wakila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 8:30
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao.


Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya wakati wetu?


Wale pepo wakamsihi, wakisema, Ukitutoa, tuache twende, tukaingie katika lile kundi la nguruwe.


Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.


Basi, hapo palikuwa na kundi la nguruwe wengi wakilishwa mlimani; wakamsihi awape ruhusa kuwaingia wale. Akawapa ruhusa.


na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.