Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 6:17 - Swahili Revised Union Version

Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini unapofunga, jipake mafuta kichwani na kunawa uso wako,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kunawa nyuso zenu

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 6:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Daudi akainuka pale chini akaoga, akajipaka mafuta, akabadili mavazi yake; akaingia nyumbani mwa BWANA, akasali; kisha akaenda nyumbani kwake, na alipotaka wakamwandalia chakula, naye akala.


Yoabu akatuma watu waende Tekoa, akaleta kutoka huko mwanamke mwenye akili, akamwambia, Nakusihi, ujifanye kama unaomboleza, ukavae nguo za kufiwa, nakusihi, wala usijitie mafuta, ila ukafanane na mwanamke aliyeomboleza siku nyingi kwa ajili yake aliyefariki;


Mavazi yako na yawe meupe sikuzote; wala kichwa chako kisikose manukato.


Basi wewe oga, ujipake mafuta ujivike mavazi yako, kisha uende kwenye uga; lakini usijioneshe kwake mtu yule, ila atakapokwisha kula na kunywa.