Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:38 - Swahili Revised Union Version

Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:38
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.


Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;


ndipo mtamfanyia kama alivyodhani kumfanyia nduguye; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.


Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.