Mathayo 5:38 - Swahili Revised Union Version Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema “Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’ Biblia Habari Njema - BHND “Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’ Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza “Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’ Neno: Bibilia Takatifu “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’ Neno: Maandiko Matakatifu “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’ BIBLIA KISWAHILI Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino; |
ndipo mtamfanyia kama alivyodhani kumfanyia nduguye; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.
Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.